Zaburi 10:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Lakini unaona mateso na taabu. Wewe huendelea kutazama na kuchukua hatua.+ Mtu huyo asiye na kosa hukugeukia wewe;+Wewe ndiye msaidizi wa yatima.+ Zaburi 140:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ninajua kwamba Yehova atawatetea watu wa hali ya chiniNa kuwatendea haki maskini.+ Methali 22:22, 23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Usimwibie mtu maskini kwa kuwa ni maskini,+Wala usimkandamize mtu wa hali ya chini katika lango la jiji,+23 Kwa maana Yehova mwenyewe atawatetea+Naye atawaangamiza wanaowapunja.
14 Lakini unaona mateso na taabu. Wewe huendelea kutazama na kuchukua hatua.+ Mtu huyo asiye na kosa hukugeukia wewe;+Wewe ndiye msaidizi wa yatima.+
22 Usimwibie mtu maskini kwa kuwa ni maskini,+Wala usimkandamize mtu wa hali ya chini katika lango la jiji,+23 Kwa maana Yehova mwenyewe atawatetea+Naye atawaangamiza wanaowapunja.