Zaburi 10:17, 18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Lakini utasikia ombi la wapole, Ee Yehova.+ Utaiimarisha mioyo yao+ na kuwasikiliza kwa makini.+ 18 Utawatendea haki mayatima na wale wanaopondwa,+Ili mwanadamu anayeweza kufa ambaye ni mavumbi asiwaogopeshe tena.+ Zaburi 22:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa maana hajadharau wala kuchukizwa na mateso ya yule anayekandamizwa;+Hajauficha uso wake kutoka kwake.+ Alipomlilia amsaidie, alisikia.+
17 Lakini utasikia ombi la wapole, Ee Yehova.+ Utaiimarisha mioyo yao+ na kuwasikiliza kwa makini.+ 18 Utawatendea haki mayatima na wale wanaopondwa,+Ili mwanadamu anayeweza kufa ambaye ni mavumbi asiwaogopeshe tena.+
24 Kwa maana hajadharau wala kuchukizwa na mateso ya yule anayekandamizwa;+Hajauficha uso wake kutoka kwake.+ Alipomlilia amsaidie, alisikia.+