Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 10:17, 18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Lakini utasikia ombi la wapole, Ee Yehova.+

      Utaiimarisha mioyo yao+ na kuwasikiliza kwa makini.+

      18 Utawatendea haki mayatima na wale wanaopondwa,+

      Ili mwanadamu anayeweza kufa ambaye ni mavumbi asiwaogopeshe tena.+

  • Zaburi 22:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Kwa maana hajadharau wala kuchukizwa na mateso ya yule anayekandamizwa;+

      Hajauficha uso wake kutoka kwake.+

      Alipomlilia amsaidie, alisikia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki