Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 10:17, 18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kwa maana Yehova Mungu wenu ni Mungu wa miungu+ na Bwana wa mabwana, Mungu mkuu, mwenye nguvu, na mwenye kuogopesha, asiyempendelea yeyote+ na hakubali rushwa. 18 Hutekeleza haki kwa ajili ya yatima na mjane+ na kumpenda mkaaji mgeni,+ humpa chakula na mavazi.

  • Zaburi 146:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Yehova anawalinda wakaaji wageni;

      Humtegemeza yatima na mjane,+

      Lakini huivuruga mipango ya waovu.*+

  • Waebrania 13:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Ili tuwe hodari na kusema: “Yehova* ni msaidizi wangu; sitaogopa. Mwanadamu atanifanya nini?”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki