Mhubiri 7:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Lakini ukandamizaji unaweza kumfanya mtu mwenye hekima ashikwe na wazimu, na rushwa huupotosha moyo.+ Yakobo 3:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana sisi sote hujikwaa* mara nyingi.+ Ikiwa yeyote hajikwai katika neno, huyo ni mtu mkamilifu, anayeweza kuuongoza kwa lijamu mwili wake wote pia.
7 Lakini ukandamizaji unaweza kumfanya mtu mwenye hekima ashikwe na wazimu, na rushwa huupotosha moyo.+
2 Kwa maana sisi sote hujikwaa* mara nyingi.+ Ikiwa yeyote hajikwai katika neno, huyo ni mtu mkamilifu, anayeweza kuuongoza kwa lijamu mwili wake wote pia.