Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 23:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Hupaswi kukubali rushwa, kwa maana rushwa huwapofusha watu wanaoona vizuri na inaweza kupotosha maneno ya watu wenye haki.+

  • Kumbukumbu la Torati 16:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Msipotoshe haki,+ msipendelee,+ wala kukubali rushwa, kwa maana rushwa hupofusha macho ya wenye hekima+ na hupotosha maneno ya waadilifu.

  • 1 Samweli 8:1-3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Samweli alipokuwa amezeeka, aliwaweka wanawe kuwa waamuzi wa Israeli. 2 Mwana wake wa kwanza aliitwa Yoeli, na wa pili aliitwa Abiya;+ walikuwa waamuzi huko Beer-sheba. 3 Lakini wanawe hawakufuata njia zake; walikuwa na mwelekeo wa kujitafutia faida isiyo ya haki,+ walipokea rushwa,+ na kupotosha haki.+

  • Methali 17:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Mtu mwovu atachukua rushwa kwa siri*

      Ili apotoshe njia ya haki.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki