Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 33:16-18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kisha hufungua masikio yao+

      Na kuyakazia* maagizo yake kwao,

      17 Ili kumwepusha mtu asitende dhambi+

      Na kumlinda mwanadamu asiwe na kiburi.+

      18 Mungu huilinda nafsi yake isiingie* shimoni,*+

      Uhai wake usiangamizwe kwa upanga.*

  • Isaya 1:19, 20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Mkionyesha utayari na kusikiliza,

      Mtakula vitu vyema vya nchi.+

      20 Lakini mkikataa na kuasi,

      Mtaliwa na upanga,+

      Kwa maana kinywa cha Yehova kimesema hayo.”

  • Waroma 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 hata hivyo, kwa wale wenye ugomvi na wale wasioitii kweli lakini wanatii ukosefu wa uadilifu, kutakuwa na ghadhabu na hasira.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki