Ayubu 33:16-18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kisha hufungua masikio yao+Na kuyakazia* maagizo yake kwao,17 Ili kumwepusha mtu asitende dhambi+Na kumlinda mwanadamu asiwe na kiburi.+ 18 Mungu huilinda nafsi yake isiingie* shimoni,*+Uhai wake usiangamizwe kwa upanga.* Isaya 1:19, 20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Mkionyesha utayari na kusikiliza,Mtakula vitu vyema vya nchi.+ 20 Lakini mkikataa na kuasi,Mtaliwa na upanga,+Kwa maana kinywa cha Yehova kimesema hayo.” Waroma 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 hata hivyo, kwa wale wenye ugomvi na wale wasioitii kweli lakini wanatii ukosefu wa uadilifu, kutakuwa na ghadhabu na hasira.+
16 Kisha hufungua masikio yao+Na kuyakazia* maagizo yake kwao,17 Ili kumwepusha mtu asitende dhambi+Na kumlinda mwanadamu asiwe na kiburi.+ 18 Mungu huilinda nafsi yake isiingie* shimoni,*+Uhai wake usiangamizwe kwa upanga.*
19 Mkionyesha utayari na kusikiliza,Mtakula vitu vyema vya nchi.+ 20 Lakini mkikataa na kuasi,Mtaliwa na upanga,+Kwa maana kinywa cha Yehova kimesema hayo.”
8 hata hivyo, kwa wale wenye ugomvi na wale wasioitii kweli lakini wanatii ukosefu wa uadilifu, kutakuwa na ghadhabu na hasira.+