Mambo ya Walawi 26:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Nitawatawanya miongoni mwa mataifa,+ nitachomoa upanga nanyi mtakimbizwa;+ na nchi yenu itaharibiwa, na majiji yenu yatabaki ukiwa.+ Methali 29:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Mtu anayeifanya shingo yake kuwa ngumu baada ya kukaripiwa sana+Atavunjwa kwa ghafla, naye hataweza kupona.+
33 Nitawatawanya miongoni mwa mataifa,+ nitachomoa upanga nanyi mtakimbizwa;+ na nchi yenu itaharibiwa, na majiji yenu yatabaki ukiwa.+
29 Mtu anayeifanya shingo yake kuwa ngumu baada ya kukaripiwa sana+Atavunjwa kwa ghafla, naye hataweza kupona.+