-
2 Mambo ya Nyakati 36:11-13Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
11 Sedekia+ alikuwa na umri wa miaka 21 alipoanza kutawala, naye alitawala kwa miaka 11 huko Yerusalemu.+ 12 Aliendelea kutenda maovu machoni pa Yehova Mungu wake. Hakujinyenyekeza mbele ya nabii Yeremia,+ aliyesema mambo aliyoagizwa na Yehova. 13 Pia alimwasi Mfalme Nebukadneza,+ aliyekuwa amemwapisha kwa jina la Mungu, akaendelea kuwa mkaidi* na mwenye moyo mgumu na kukataa kumgeukia Yehova Mungu wa Israeli.
-