Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 24:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Mambo hayo yalitukia Yerusalemu na Yuda kwa sababu ya hasira ya Yehova, mpaka alipowatupa mbali kutoka mbele zake.+ Na Sedekia akamwasi mfalme wa Babiloni.+

  • Ezekieli 17:12-15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Tafadhali iambie nyumba ya uasi, ‘Je, hamtambui maana ya mambo haya?’ Sema, ‘Tazama! Mfalme wa Babiloni alikuja Yerusalemu, akamchukua mfalme wake na wakuu wake na kurudi pamoja nao Babiloni.+ 13 Isitoshe, alimchukua mmoja aliyekuwa wa uzao wa*+ kifalme, akafanya naye agano na kumwapisha.+ Kisha akawachukua watu mashuhuri wa nchi,+ 14 ili ufalme huo ushushwe, usiweze kuinuka, ili uendelee kuwapo ikiwa tu utashika agano lake.+ 15 Lakini mwishowe mfalme huyo alimwasi+ kwa kutuma wajumbe wake Misri ili apate farasi+ na jeshi kubwa kutoka huko.+ Je, atafanikiwa? Je, yule anayefanya mambo hayo ataponyoka adhabu? Je, anaweza kuvunja agano na bado aponyoke?’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki