Methali 2:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Lakini waovu, wataangamizwa kutoka duniani,+Na wenye hila watang’olewa kutoka ndani yake.+ Yeremia 25:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 ‘Kelele zitasikika mpaka kwenye miisho ya dunia,Kwa maana Yehova ana kesi dhidi ya mataifa. Yeye binafsi atawahukumu wanadamu wote.*+ Naye atawaangamiza waovu kwa upanga,’ asema Yehova.
31 ‘Kelele zitasikika mpaka kwenye miisho ya dunia,Kwa maana Yehova ana kesi dhidi ya mataifa. Yeye binafsi atawahukumu wanadamu wote.*+ Naye atawaangamiza waovu kwa upanga,’ asema Yehova.