Ayubu 7:6, 7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Siku zangu zinasonga upesi sana kuliko gurudumu la mfumaji,+Nazo zinafikia mwisho bila tumaini.+ 7 Kumbukeni kwamba maisha yangu ni upepo,+Kwamba jicho langu halitaona tena kamwe furaha.* Zaburi 103:15, 16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Siku za mwanadamu anayeweza kufa ni kama za majani;+Yeye huchanua kama ua la shambani.+ 16 Lakini upepo unapovuma, linatoweka,Kana kwamba halikuwahi kuwepo.*
6 Siku zangu zinasonga upesi sana kuliko gurudumu la mfumaji,+Nazo zinafikia mwisho bila tumaini.+ 7 Kumbukeni kwamba maisha yangu ni upepo,+Kwamba jicho langu halitaona tena kamwe furaha.*
15 Siku za mwanadamu anayeweza kufa ni kama za majani;+Yeye huchanua kama ua la shambani.+ 16 Lakini upepo unapovuma, linatoweka,Kana kwamba halikuwahi kuwepo.*