Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 3:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Usiruhusu upendo mshikamanifu na uaminifu* zikuache.+

      Zifunge shingoni mwako;

      Ziandike kwenye kibao cha moyo wako;+

  • Methali 19:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kinachomfanya mtu awe mwenye kutamanika ni upendo wake mshikamanifu;+

      Na ni afadhali kuwa maskini kuliko kuwa mwongo.

  • Hosea 6:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Kwa maana ninapendezwa na upendo mshikamanifu,* si dhabihu,

      Na kumjua Mungu, badala ya dhabihu nzima za kuteketezwa.+

  • Zekaria 7:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Yehova wa majeshi anasema hivi: ‘Hukumuni kwa haki ya kweli,+ na mtendeane kwa upendo mshikamanifu+ na rehema.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki