Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 16:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Kwa upendo mshikamanifu na uaminifu, kosa husamehewa,+

      Na kwa kumwogopa Yehova mtu hujiepusha na uovu.+

  • Hosea 10:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Jipandieni mbegu kwa uadilifu na mvune upendo mshikamanifu.

      Jilimieni shamba linalofaa kwa kilimo+

      Maadamu wakati upo wa kumtafuta Yehova,+

      Mpaka atakapokuja na kuwafundisha uadilifu.+

  • Mika 6:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Ee mwanadamu, amekuambia yaliyo mema.

      Na Yehova anataka* nini kutoka kwako?

      Anataka tu utekeleze haki,*+ uthamini sana ushikamanifu,*+

      Na utembee kwa kiasi+ na Mungu wako!+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki