Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 11:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Yehova yumo katika hekalu lake takatifu.+

      Kiti cha ufalme cha Yehova kiko mbinguni.+

      Macho yake mwenyewe yanatazama, macho yake yaliyo makini* yanawachunguza wanadamu.+

  • Zaburi 33:13-15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Yehova anatazama chini kutoka mbinguni;

      Anawaona wanadamu wote.+

      14 Kutoka katika makao yake,

      Anawakazia macho wakaaji wa dunia.

      15 Yeye ndiye anayeumba mioyo ya wote;

      Huchunguza kazi zao zote.+

  • Yeremia 16:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kwa maana macho yangu yanaona kila kitu wanachofanya.*

      Hawajafichwa kutoka mbele zangu,

      Wala kosa lao halijafichwa kutoka mbele ya macho yangu.

  • Yeremia 23:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 “Je, mtu yeyote anaweza kujificha mahali pa siri ambapo siwezi kumwona?”+ auliza Yehova.

      “Je, mimi sizijazi mbingu na dunia?”+ auliza Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki