Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 17:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Ahithofeli alipoona kwamba ushauri wake haukufuatwa, aliweka matandiko juu ya punda wake na kwenda nyumbani kwake katika mji wao.+ Baada ya kuwapa maagizo watu wa nyumbani mwake,+ akajitia kitanzi.*+ Basi akafa na kuzikwa katika makaburi ya mababu zake.

  • 2 Samweli 18:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Ndipo Yoabu akasema: “Sitaendelea kupoteza muda pamoja nawe!” Basi akachukua mikuki mitatu midogo* na kumchoma nayo Absalomu kwenye moyo alipokuwa angali hai akining’inia kwenye mti mkubwa.

  • Zaburi 109:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Yehova na akumbuke daima waliyotenda;

      Na afutilie mbali kumbukumbu lao kutoka duniani.+

  • Mathayo 27:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Ndipo Yuda, ambaye alimsaliti, alipoona Yesu amehukumiwa, akajuta na kuwarudishia wakuu wa makuhani na wazee vile vipande 30 vya fedha,+

  • Mathayo 27:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Basi akavitupa vile vipande vya fedha hekaluni. Kisha akaenda zake akajinyonga.+

  • Matendo 1:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Wanaume, akina ndugu, ilikuwa lazima andiko litimizwe, ambalo roho takatifu ilisema kinabii kupitia Daudi kumhusu Yuda,+ aliyewaongoza wale waliomkamata Yesu.+

  • Matendo 1:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 (Mtu huyo alinunua shamba kwa mshahara wa ukosefu wa uadilifu,+ akaanguka kichwa kwanza, mwili wake ukapasuka* na matumbo yake yote yakamwagika.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki