Zaburi 37:23, 24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Yehova huongoza* hatua za mtu+Njia ya mtu huyo inapompendeza Yeye.+ 24 Hata akianguka, hataangushwa chini kabisa,+Kwa maana Yehova anaushika mkono wake na kumtegemeza.*+ Zaburi 62:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa kweli, yeye ni mwamba wangu na wokovu wangu, kimbilio langu salama;*+Kamwe, sitatikiswa sana.+ Zaburi 121:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Hataruhusu kamwe mguu wako uteleze.*+ Yeye anayekulinda hatasinzia kamwe.
23 Yehova huongoza* hatua za mtu+Njia ya mtu huyo inapompendeza Yeye.+ 24 Hata akianguka, hataangushwa chini kabisa,+Kwa maana Yehova anaushika mkono wake na kumtegemeza.*+