Zaburi 27:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Yehova ni nuru yangu+ na wokovu wangu. Nimwogope nani?+ Yehova ni ngome ya uhai wangu.+ Nimhofu nani? Zaburi 56:10, 11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Katika Mungu—ninayelisifu neno lake—Katika Yehova—ninayelisifu neno lake—11 Katika Mungu ninaweka tumaini langu; siogopi.+ Mwanadamu ambaye ni duni tu atanifanya nini?+ Waroma 8:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Basi, tuseme nini kuhusu mambo haya? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, ni nani atakayekuwa dhidi yetu?+ Waebrania 13:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ili tuwe hodari na kusema: “Yehova* ni msaidizi wangu; sitaogopa. Mwanadamu atanifanya nini?”+
27 Yehova ni nuru yangu+ na wokovu wangu. Nimwogope nani?+ Yehova ni ngome ya uhai wangu.+ Nimhofu nani?
10 Katika Mungu—ninayelisifu neno lake—Katika Yehova—ninayelisifu neno lake—11 Katika Mungu ninaweka tumaini langu; siogopi.+ Mwanadamu ambaye ni duni tu atanifanya nini?+
31 Basi, tuseme nini kuhusu mambo haya? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, ni nani atakayekuwa dhidi yetu?+