Mwanzo 15:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Baada ya hayo neno la Yehova likamjia Abramu katika maono, likisema: “Usiogope,+ Abramu. Mimi ni ngao yako.+ Thawabu yako itakuwa kubwa sana.”+ Kumbukumbu la Torati 33:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Wewe ni mwenye furaha, Ee Israeli!+ Ni nani aliye kama wewe,+Taifa linalofurahia wokovu wa Yehova,+Ngao yenu inayowalinda+Na upanga wenu wenye fahari? Maadui wenu watajikunyata mbele yenu,+Nanyi mtawakanyaga migongoni.”* Zaburi 3:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Lakini wewe, Ee Yehova, ni ngao kunizunguka,+Utukufu wangu+ na Yule anayekiinua kichwa changu.+
15 Baada ya hayo neno la Yehova likamjia Abramu katika maono, likisema: “Usiogope,+ Abramu. Mimi ni ngao yako.+ Thawabu yako itakuwa kubwa sana.”+
29 Wewe ni mwenye furaha, Ee Israeli!+ Ni nani aliye kama wewe,+Taifa linalofurahia wokovu wa Yehova,+Ngao yenu inayowalinda+Na upanga wenu wenye fahari? Maadui wenu watajikunyata mbele yenu,+Nanyi mtawakanyaga migongoni.”*