Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 30:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Ee Yehova, umeniinua* kutoka Kaburini.*+

      Ulifanya niendelee kuwa hai; uliniokoa nisizame shimoni.*+

  • Isaya 38:9, 10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Haya ni maandishi ya* Mfalme Hezekia wa Yuda, aliposhikwa na ugonjwa na kupona ugonjwa wake.

      10 Nilisema: “Katikati ya maisha yangu

      Lazima niingie katika malango ya Kaburi.*

      Nitanyimwa miaka yangu iliyobaki.”

  • Ufunuo 1:17, 18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Nilipomwona, nikaanguka miguuni pake kana kwamba nimekufa.

      Naye akaweka mkono wake wa kuume juu yangu na kusema: “Usiogope. Mimi ndiye wa Kwanza+ na wa Mwisho,+ 18 na aliye hai,+ nami nilikufa,+ lakini tazama! ninaishi milele na milele,+ nami nina funguo za kifo na za Kaburi.*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki