Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 9:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Yeye ni mwenye hekima moyoni na ana nguvu nyingi sana.+

      Ni nani anayeweza kumpinga na asipate madhara?+

  • Nahumu 1:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Yehova si mwepesi wa hasira,+ naye ana nguvu nyingi,+

      Lakini Yehova hatasita kamwe kutoa adhabu inayostahiliwa.+

      Kijia chake kimo katika upepo unaosababisha uharibifu na katika dhoruba,

      Na mawingu ni mavumbi ya miguu yake.+

  • Ufunuo 19:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Baada ya hayo nikasikia kitu kama sauti kubwa ya umati mkubwa mbinguni. Wakasema: “Msifuni Yah!*+ Wokovu na utukufu na nguvu ni za Mungu wetu,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki