Ayubu 9:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yeye ni mwenye hekima moyoni na ana nguvu nyingi sana.+ Ni nani anayeweza kumpinga na asipate madhara?+ Nahumu 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Yehova si mwepesi wa hasira,+ naye ana nguvu nyingi,+Lakini Yehova hatasita kamwe kutoa adhabu inayostahiliwa.+ Kijia chake kimo katika upepo unaosababisha uharibifu na katika dhoruba,Na mawingu ni mavumbi ya miguu yake.+ Ufunuo 19:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Baada ya hayo nikasikia kitu kama sauti kubwa ya umati mkubwa mbinguni. Wakasema: “Msifuni Yah!*+ Wokovu na utukufu na nguvu ni za Mungu wetu,
4 Yeye ni mwenye hekima moyoni na ana nguvu nyingi sana.+ Ni nani anayeweza kumpinga na asipate madhara?+
3 Yehova si mwepesi wa hasira,+ naye ana nguvu nyingi,+Lakini Yehova hatasita kamwe kutoa adhabu inayostahiliwa.+ Kijia chake kimo katika upepo unaosababisha uharibifu na katika dhoruba,Na mawingu ni mavumbi ya miguu yake.+
19 Baada ya hayo nikasikia kitu kama sauti kubwa ya umati mkubwa mbinguni. Wakasema: “Msifuni Yah!*+ Wokovu na utukufu na nguvu ni za Mungu wetu,