1 Mambo ya Nyakati 16:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Mpeni Yehova anachostahili, enyi familia za mataifa,Mpeni Yehova anachostahili kwa sababu ya utukufu wake na nguvu zake.+ Zaburi 96:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mbele zake kuna utukufu* na fahari;+Nguvu na uzuri umo mahali pake patakatifu.+
28 Mpeni Yehova anachostahili, enyi familia za mataifa,Mpeni Yehova anachostahili kwa sababu ya utukufu wake na nguvu zake.+