Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 68:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Tambueni nguvu za Mungu.+

      Fahari yake iko juu ya Israeli,

      Na nguvu zake ziko angani.*

  • Zaburi 96:7-13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Mpeni Yehova anachostahili, enyi familia za mataifa,

      Mpeni Yehova anachostahili kwa sababu ya utukufu wake na nguvu zake.+

       8 Mpeni Yehova utukufu ambao jina lake linastahili;+

      Leteni zawadi na mwingie katika nyua zake.

       9 Mwinamieni* Yehova katika mapambo matakatifu;*

      Tetemekeni mbele zake, dunia yote!

      10 Tangazeni miongoni mwa mataifa: “Yehova amekuwa Mfalme!+

      Dunia imeimarishwa kabisa, haiwezi kusogezwa.*

      Atayahukumu* mataifa kwa haki.”+

      11 Mbingu na zishangilie, dunia na iwe na shangwe;

      Bahari na ingurume na vitu vyote vinavyoijaza;+

      12 Mashamba na vitu vyote vilivyomo na vishangilie.+

      Wakati uleule miti yote ya msituni na ishangilie kwa sauti+

      13 Mbele za Yehova, kwa maana anakuja,*

      Anakuja kuihukumu dunia.

      Ataihukumu kwa uadilifu dunia inayokaliwa+

      Na mataifa kwa uaminifu wake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki