-
1 Mambo ya Nyakati 16:28-33Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
28 Mpeni Yehova anachostahili, enyi familia za mataifa,
Mpeni Yehova anachostahili kwa sababu ya utukufu wake na nguvu zake.+
Mwinamieni* Yehova katika mapambo matakatifu.*+
30 Tetemekeni mbele zake, dunia yote!
Dunia imeimarishwa kabisa; haiwezi kusogezwa.*+
31 Mbingu na zishangilie, dunia na iwe na shangwe;+
Tangazeni miongoni mwa mataifa: ‘Yehova amekuwa Mfalme!’+
32 Bahari na ingurume na vitu vyote vinavyoijaza;
Mashamba na vitu vyote vilivyomo na vishangilie.
-