Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 16:28-33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Mpeni Yehova anachostahili, enyi familia za mataifa,

      Mpeni Yehova anachostahili kwa sababu ya utukufu wake na nguvu zake.+

      29 Mpeni Yehova utukufu ambao jina lake linastahili;+

      Leteni zawadi na mje mbele zake.+

      Mwinamieni* Yehova katika mapambo matakatifu.*+

      30 Tetemekeni mbele zake, dunia yote!

      Dunia imeimarishwa kabisa; haiwezi kusogezwa.*+

      31 Mbingu na zishangilie, dunia na iwe na shangwe;+

      Tangazeni miongoni mwa mataifa: ‘Yehova amekuwa Mfalme!’+

      32 Bahari na ingurume na vitu vyote vinavyoijaza;

      Mashamba na vitu vyote vilivyomo na vishangilie.

      33 Wakati uleule miti ya msituni na ishangilie kwa sauti mbele za Yehova,

      Kwa maana anakuja* kuihukumu dunia.

  • Zaburi 29:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Mpeni Yehova anachostahili, enyi wana wa watu hodari,

      Mpeni Yehova anachostahili kwa sababu ya utukufu wake na nguvu zake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki