28 Mpeni Yehova anachostahili, enyi familia za mataifa,
Mpeni Yehova anachostahili kwa sababu ya utukufu wake na nguvu zake.+
29 Mpeni Yehova utukufu ambao jina lake linastahili;+
Leteni zawadi na mje mbele zake.+
Mwinamieni Yehova katika mapambo matakatifu.+