Zaburi 10:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa sababu ya kiburi chake, mwovu hafanyi uchunguzi wowote;Mawazo yake yote ni: “Hakuna Mungu.”+ Zaburi 10:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Yeye husema moyoni mwake: “Mungu amesahau.+ Ameugeuzia mbali uso wake. Haoni kamwe.”+ Zaburi 59:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Tazama kinachomwagika* kutoka katika kinywa chao;Midomo yao ni kama panga,+Kwa maana wanauliza: “Ni nani anayesikiliza?”+
7 Tazama kinachomwagika* kutoka katika kinywa chao;Midomo yao ni kama panga,+Kwa maana wanauliza: “Ni nani anayesikiliza?”+