Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 73:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Kwa maana niliwaonea wivu wenye kiburi*

      Nilipokuwa nikiona amani ya waovu.+

  • Zaburi 73:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Wanasema: “Mungu anajuaje?+

      Je, Aliye Juu Zaidi ana ujuzi kweli?”

  • Zaburi 94:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Waovu wataendelea mpaka lini, Ee Yehova,

      Waovu wataendelea mpaka lini kushangilia?+

  • Zaburi 94:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Wanasema: “Yah haoni;+

      Mungu wa Yakobo hatambui jambo hilo.”+

  • Ezekieli 8:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Akaniambia: “Mwana wa binadamu, je, umeona mambo ambayo wazee wa nyumba ya Israeli wanafanya gizani, kila mmoja akiwa katika vyumba vya ndani ambamo sanamu zake za kuchongwa zimewekwa ili zionekane?* Kwa maana wanasema, ‘Yehova hatuoni. Yehova ameiacha nchi hii.’”+

  • Ezekieli 9:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Basi akaniambia: “Kosa la watu wa nyumba ya Israeli na Yuda ni kubwa sana, kubwa kwelikweli.+ Nchi imejaa umwagaji wa damu,+ nalo jiji limejaa ufisadi.+ Kwa maana wanasema, ‘Yehova ameiacha nchi hii, na Yehova haoni.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki