Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 10:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Kwa sababu ya kiburi chake, mwovu hafanyi uchunguzi wowote;

      Mawazo yake yote ni: “Hakuna Mungu.”+

  • Zaburi 10:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Yeye husema moyoni mwake: “Mungu amesahau.+

      Ameugeuzia mbali uso wake.

      Haoni kamwe.”+

  • Zaburi 73:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Kwa maana niliwaonea wivu wenye kiburi*

      Nilipokuwa nikiona amani ya waovu.+

  • Zaburi 73:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Wanasema: “Mungu anajuaje?+

      Je, Aliye Juu Zaidi ana ujuzi kweli?”

  • Isaya 29:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Ole wao wanaojitahidi sana kumficha Yehova mipango yao.*+

      Wanatenda matendo yao mahali penye giza,

      Huku wakisema: “Ni nani anayetuona?

      Ni nani anayejua kutuhusu?”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki