Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 10:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Kwa sababu ya kiburi chake, mwovu hafanyi uchunguzi wowote;

      Mawazo yake yote ni: “Hakuna Mungu.”+

  • Zaburi 10:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Yeye husema moyoni mwake: “Mungu amesahau.+

      Ameugeuzia mbali uso wake.

      Haoni kamwe.”+

  • Zaburi 94:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Waovu wataendelea mpaka lini, Ee Yehova,

      Waovu wataendelea mpaka lini kushangilia?+

  • Zaburi 94:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Wanasema: “Yah haoni;+

      Mungu wa Yakobo hatambui jambo hilo.”+

  • Ezekieli 8:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Akaniambia: “Mwana wa binadamu, je, umeona mambo ambayo wazee wa nyumba ya Israeli wanafanya gizani, kila mmoja akiwa katika vyumba vya ndani ambamo sanamu zake za kuchongwa zimewekwa ili zionekane?* Kwa maana wanasema, ‘Yehova hatuoni. Yehova ameiacha nchi hii.’”+

  • Sefania 1:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Wakati huo nitatumia taa kupekua Yerusalemu kwa makini,

      Nami nitawafanya wasiojali* wawajibike, wanaosema moyoni mwao,

      ‘Yehova hatatenda mema, wala hatatenda mabaya.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki