34 “Mwishoni mwa kipindi hicho,+ mimi, Nebukadneza, nilitazama juu mbinguni, na ufahamu wangu ukanirudia; nami nikamsifu Aliye Juu Zaidi, nikamsifu na kumtukuza Yeye anayeishi milele, kwa sababu utawala wake ni utawala wa milele na ufalme wake ni wa kizazi baada ya kizazi.+