Zaburi 11:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yehova yumo katika hekalu lake takatifu.+ Kiti cha ufalme cha Yehova kiko mbinguni.+ Macho yake mwenyewe yanatazama, macho yake yaliyo makini* yanawachunguza wanadamu.+ Methali 15:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Macho ya Yehova yako kila mahali,Yakiwaangalia waovu na wema.+ Waebrania 4:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na hakuna kiumbe kilichofichwa machoni pake,+ bali vitu vyote viko uchi navyo vimefunuliwa wazi machoni pa yule ambaye tunapaswa kutoa hesabu kwake.+
4 Yehova yumo katika hekalu lake takatifu.+ Kiti cha ufalme cha Yehova kiko mbinguni.+ Macho yake mwenyewe yanatazama, macho yake yaliyo makini* yanawachunguza wanadamu.+
13 Na hakuna kiumbe kilichofichwa machoni pake,+ bali vitu vyote viko uchi navyo vimefunuliwa wazi machoni pa yule ambaye tunapaswa kutoa hesabu kwake.+