Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 11:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Wakaaji wa Yebusi walimdhihaki Daudi wakisema: “Hutaingia humu kamwe!”+ Hata hivyo, Daudi aliiteka ngome ya Sayuni,+ ambayo sasa ni Jiji la Daudi.+

  • Zaburi 48:2, 3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Urefu wake unavutia, shangwe ya dunia yote,+

      Ni Mlima Sayuni ulio mbali sana kaskazini,

      Jiji la Mfalme Mkuu.+

       3 Katika minara yake yenye ngome,

      Mungu ametangaza kwamba yeye ni kimbilio salama.*+

  • Zaburi 132:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa maana Yehova amelichagua Sayuni;+

      Amelitamani liwe makao yake:+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki