1 Mambo ya Nyakati 11:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Wakaaji wa Yebusi walimdhihaki Daudi wakisema: “Hutaingia humu kamwe!”+ Hata hivyo, Daudi aliiteka ngome ya Sayuni,+ ambayo sasa ni Jiji la Daudi.+ Zaburi 48:2, 3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Urefu wake unavutia, shangwe ya dunia yote,+Ni Mlima Sayuni ulio mbali sana kaskazini,Jiji la Mfalme Mkuu.+ 3 Katika minara yake yenye ngome,Mungu ametangaza kwamba yeye ni kimbilio salama.*+ Zaburi 132:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana Yehova amelichagua Sayuni;+Amelitamani liwe makao yake:+
5 Wakaaji wa Yebusi walimdhihaki Daudi wakisema: “Hutaingia humu kamwe!”+ Hata hivyo, Daudi aliiteka ngome ya Sayuni,+ ambayo sasa ni Jiji la Daudi.+
2 Urefu wake unavutia, shangwe ya dunia yote,+Ni Mlima Sayuni ulio mbali sana kaskazini,Jiji la Mfalme Mkuu.+ 3 Katika minara yake yenye ngome,Mungu ametangaza kwamba yeye ni kimbilio salama.*+