Mwanzo 49:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 “Benjamini+ ataendelea kurarua kama mbwamwitu.+ Asubuhi atakula mawindo, na jioni atagawanya nyara.”+ 1 Samweli 9:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Ndipo Sauli akasema: “Je, mimi si Mbenjamini kutoka katika kabila dogo zaidi kati ya makabila ya Israeli,+ na je, familia yangu si familia ya chini kabisa kati ya familia zote za kabila la Benjamini? Basi kwa nini unaniambia hivyo?”
27 “Benjamini+ ataendelea kurarua kama mbwamwitu.+ Asubuhi atakula mawindo, na jioni atagawanya nyara.”+
21 Ndipo Sauli akasema: “Je, mimi si Mbenjamini kutoka katika kabila dogo zaidi kati ya makabila ya Israeli,+ na je, familia yangu si familia ya chini kabisa kati ya familia zote za kabila la Benjamini? Basi kwa nini unaniambia hivyo?”