Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 50:13-15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Je, nitakula nyama ya ng’ombe dume

      Na kunywa damu ya mbuzi?+

      14 Toa shukrani zikiwa dhabihu yako kwa Mungu,+

      Na utimize nadhiri zako kwa Aliye Juu Zaidi;+

      15 Nililie wakati wa taabu.+

      Nitakuokoa, nawe utanitukuza.”+

  • Hosea 14:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Mrudieni Yehova kwa maneno haya,

      Mwambieni, ‘Tusamehe kosa letu+ na ukubali yaliyo mema,

      Nasi tutatoa sifa ya midomo yetu+ kama vile ambavyo tungetoa ng’ombe dume wachanga.*

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki