Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mika 6:6-8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Nitakuja mbele za Yehova nikiwa na nini?

      Nitainama mbele za Mungu aliye juu nikiwa na nini?

      Je, nitakuja mbele zake nikiwa na dhabihu nzima za kuteketezwa,

      Nikiwa na ndama wenye umri wa mwaka mmoja?+

       7 Je, Yehova atapendezwa na maelfu ya kondoo dume,

      Na makumi ya maelfu ya mito ya mafuta?+

      Je, nitamtoa mwanangu mzaliwa wa kwanza kwa ajili ya uasi wangu,

      Uzao wa mwili wangu kwa ajili ya dhambi yangu?*+

       8 Ee mwanadamu, amekuambia yaliyo mema.

      Na Yehova anataka* nini kutoka kwako?

      Anataka tu utekeleze haki,*+ uthamini sana ushikamanifu,*+

      Na utembee kwa kiasi+ na Mungu wako!+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki