Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 69:30, 31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Nitaliimbia sifa jina la Mungu,

      Nami nitamtukuza kwa kutoa shukrani.

      31 Jambo hilo litampendeza Yehova kuliko ng’ombe dume,

      Kuliko ng’ombe dume mchanga mwenye pembe na kwato.+

  • Methali 21:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Kutenda mambo manyoofu na ya haki

      Humpendeza Yehova zaidi kuliko dhabihu.+

  • Hosea 6:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Kwa maana ninapendezwa na upendo mshikamanifu,* si dhabihu,

      Na kumjua Mungu, badala ya dhabihu nzima za kuteketezwa.+

  • Waebrania 13:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kupitia yeye sikuzote na tumtolee Mungu dhabihu ya sifa,+ yaani, tunda la midomo yetu+ ambalo hulitangaza jina lake hadharani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki