Zaburi 96:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mbingu na zishangilie, dunia na iwe na shangwe;Bahari na ingurume na vitu vyote vinavyoijaza;+ Isaya 49:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Pigeni vigelegele vya shangwe, enyi mbingu, na ushangilie, Ee dunia.+ Milima na ichangamke kwa kilio cha shangwe.+ Kwa maana Yehova amewafariji watu wake,+Naye huwaonyesha rehema watu wake mwenyewe wanaoteseka.+
11 Mbingu na zishangilie, dunia na iwe na shangwe;Bahari na ingurume na vitu vyote vinavyoijaza;+ Isaya 49:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Pigeni vigelegele vya shangwe, enyi mbingu, na ushangilie, Ee dunia.+ Milima na ichangamke kwa kilio cha shangwe.+ Kwa maana Yehova amewafariji watu wake,+Naye huwaonyesha rehema watu wake mwenyewe wanaoteseka.+
13 Pigeni vigelegele vya shangwe, enyi mbingu, na ushangilie, Ee dunia.+ Milima na ichangamke kwa kilio cha shangwe.+ Kwa maana Yehova amewafariji watu wake,+Naye huwaonyesha rehema watu wake mwenyewe wanaoteseka.+