Zaburi 17:8, 9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Nilinde kama mboni ya jicho lako;+Nifiche katika kivuli cha mabawa yako.+ 9 Nilinde kutokana na waovu wanaonishambulia,Kutokana na maadui wangu* wanaoweza kufa ambao wananizingira.+ Zaburi 59:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 59 Niokoe kutoka kwa maadui wangu, Ee Mungu wangu;+Nilinde kutoka kwa wale wanaoinuka dhidi yangu.+ Zaburi 140:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nilinde, Ee Yehova, kutoka mikononi mwa waovu;+Nilinde kutoka kwa watu wakatili,Wale wanaopanga njama ya kunitega miguu. Mathayo 6:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na usituingize katika majaribu,+ bali utukomboe* kutoka kwa yule mwovu.’+
8 Nilinde kama mboni ya jicho lako;+Nifiche katika kivuli cha mabawa yako.+ 9 Nilinde kutokana na waovu wanaonishambulia,Kutokana na maadui wangu* wanaoweza kufa ambao wananizingira.+
4 Nilinde, Ee Yehova, kutoka mikononi mwa waovu;+Nilinde kutoka kwa watu wakatili,Wale wanaopanga njama ya kunitega miguu.