Kumbukumbu la Torati 32:9, 10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana watu wa Yehova ni fungu lake;+Yakobo ni urithi wake.+ 10 Alimpata katika nchi yenye nyika+Na katika jangwa tupu, lenye milio.+ Alimzunguka akimlinda, akamtunza,+Na kumlinda kama mboni ya jicho lake.+ Zekaria 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa maana hivi ndivyo anavyosema Yehova wa majeshi, ambaye baada ya kutukuzwa* amenituma kwa mataifa yaliyokuwa yakiwapora ninyi:+ ‘Yeyote anayewagusa ninyi anaigusa mboni ya jicho langu.*+
9 Kwa maana watu wa Yehova ni fungu lake;+Yakobo ni urithi wake.+ 10 Alimpata katika nchi yenye nyika+Na katika jangwa tupu, lenye milio.+ Alimzunguka akimlinda, akamtunza,+Na kumlinda kama mboni ya jicho lake.+
8 Kwa maana hivi ndivyo anavyosema Yehova wa majeshi, ambaye baada ya kutukuzwa* amenituma kwa mataifa yaliyokuwa yakiwapora ninyi:+ ‘Yeyote anayewagusa ninyi anaigusa mboni ya jicho langu.*+