2 Samweli 23:3, 4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mungu wa Israeli alisema;Mwamba wa Israeli+ aliniambia: ‘Yule anayetawala wanadamu anapokuwa mwadilifu,+Anapotawala kwa kumwogopa Mungu,+ 4 Ni kama mwangaza wa asubuhi jua linapoangaza,+Asubuhi isiyo na mawingu. Ni kama mwangaza baada ya mvua kunyesha,Ambao unaotesha majani duniani.’+ Methali 16:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Katika nuru ya uso wa mfalme kuna uzima;Kibali chake ni kama wingu la mvua wakati wa masika.+ Methali 19:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ghadhabu ya mfalme ni kama mngurumo wa simba,*+Lakini kibali chake ni kama umande juu ya majani.
3 Mungu wa Israeli alisema;Mwamba wa Israeli+ aliniambia: ‘Yule anayetawala wanadamu anapokuwa mwadilifu,+Anapotawala kwa kumwogopa Mungu,+ 4 Ni kama mwangaza wa asubuhi jua linapoangaza,+Asubuhi isiyo na mawingu. Ni kama mwangaza baada ya mvua kunyesha,Ambao unaotesha majani duniani.’+