Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 23:3, 4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Mungu wa Israeli alisema;

      Mwamba wa Israeli+ aliniambia:

      ‘Yule anayetawala wanadamu anapokuwa mwadilifu,+

      Anapotawala kwa kumwogopa Mungu,+

       4 Ni kama mwangaza wa asubuhi jua linapoangaza,+

      Asubuhi isiyo na mawingu.

      Ni kama mwangaza baada ya mvua kunyesha,

      Ambao unaotesha majani duniani.’+

  • Methali 16:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Katika nuru ya uso wa mfalme kuna uzima;

      Kibali chake ni kama wingu la mvua wakati wa masika.+

  • Methali 19:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Ghadhabu ya mfalme ni kama mngurumo wa simba,*+

      Lakini kibali chake ni kama umande juu ya majani.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki