Kutoka 18:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Lakini unapaswa kuchagua miongoni mwa watu, wanaume wanaostahili,+ wanaomwogopa Mungu, wanaume wanaotegemeka, wanaochukia faida isiyo ya haki,+ nawe uwaweke kuwa wakuu wa maelfu, wakuu wa mamia, wakuu wa hamsini, na wakuu wa makumi.+ Isaya 11:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Naye atafurahia kumwogopa Yehova.+ Hatahukumu kwa mambo anayoona kwa macho yake,Wala kukaripia kulingana tu na mambo anayosikia kwa masikio yake.+
21 Lakini unapaswa kuchagua miongoni mwa watu, wanaume wanaostahili,+ wanaomwogopa Mungu, wanaume wanaotegemeka, wanaochukia faida isiyo ya haki,+ nawe uwaweke kuwa wakuu wa maelfu, wakuu wa mamia, wakuu wa hamsini, na wakuu wa makumi.+
3 Naye atafurahia kumwogopa Yehova.+ Hatahukumu kwa mambo anayoona kwa macho yake,Wala kukaripia kulingana tu na mambo anayosikia kwa masikio yake.+