Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 23:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Hupaswi kukubali rushwa, kwa maana rushwa huwapofusha watu wanaoona vizuri na inaweza kupotosha maneno ya watu wenye haki.+

  • 1 Timotheo 3:2, 3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Mwangalizi anapaswa kuwa mtu asiyelaumika, mume wa mke mmoja, mwenye kiasi katika mazoea, mwenye utimamu wa akili,*+ mwenye utaratibu, mkaribishaji wageni,*+ mwenye uwezo wa kufundisha,+ 3 si mlevi,+ si mkatili,* bali mwenye usawaziko,+ si mgomvi,+ si mtu anayependa pesa,+

  • Tito 1:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Mwangalizi ni msimamizi aliyechaguliwa na Mungu, hivyo hapaswi kuwa na shtaka, asiwe mshupavu,+ asiwe mwenye kukasirika upesi,+ asiwe mlevi, asiwe mkatili,* asiwe na pupa ya mapato yasiyo ya haki,

  • 1 Petro 5:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Lichungeni kundi la Mungu+ lililo chini ya utunzaji wenu, mkiwa waangalizi,* si kwa kulazimishwa, bali kwa hiari mbele za Mungu;+ si kwa kupenda pato lisilo la haki,+ bali kwa hamu;

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki