Wafilipi 4:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Usawaziko wenu+ na ujulikane kwa watu wote. Bwana yuko karibu. Yakobo 3:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Lakini hekima inayotoka juu kwanza kabisa ni safi,+ kisha yenye kufanya amani,+ yenye usawaziko,+ tayari kutii, yenye kujaa rehema na matunda mema,+ haina ubaguzi,+ na si ya kinafiki.+
17 Lakini hekima inayotoka juu kwanza kabisa ni safi,+ kisha yenye kufanya amani,+ yenye usawaziko,+ tayari kutii, yenye kujaa rehema na matunda mema,+ haina ubaguzi,+ na si ya kinafiki.+