35 Nyika na nchi iliyokauka zitafurahi,+
Na jangwa tambarare litashangilia na kuchanua maua kama zafarani.+
2 Hakika itachanua maua;+
Itashangilia na kupiga vigelegele vya shangwe.
Itapewa utukufu wa Lebanoni,+
Fahari ya Karmeli+ na ya Sharoni.+
Watauona utukufu wa Yehova, fahari ya Mungu wetu.