Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 17:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Tazama! Nitakuwa nimesimama mbele yako kwenye mwamba huko Horebu. Unapaswa kuupiga mwamba huo, na maji yatatoka ndani yake, kisha watu watayanywa.”+ Musa akafanya hivyo mbele ya wazee wa Israeli.

  • Hesabu 20:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ndipo Musa akainua mkono wake na kuupiga mwamba huo mara mbili kwa fimbo yake, na maji mengi yakaanza kububujika, watu wakaanza kunywa pamoja na mifugo yao.+

  • Zaburi 105:41
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 Alifungua mwamba, maji yakatiririka kutoka humo;+

      Maji hayo yalitiririka jangwani kama mto.+

  • Isaya 48:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Hawakupata kiu alipowaongoza katika maeneo yaliyoharibiwa.+

      Alifanya maji yatiririke kutoka kwenye mwamba kwa ajili yao;

      Aliupasua mwamba maji yakabubujika.”+

  • 1 Wakorintho 10:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 na wote walikunywa maji yaleyale ya kiroho.+ Kwa maana walikuwa wakinywa kutokana na mwamba wa kiroho uliowafuata, na mwamba huo ulimaanisha* Kristo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki