Zaburi 77:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Uliwaongoza watu wako kama kundi la kondoo,+Chini ya uangalizi* wa Musa na Haruni.+ Zaburi 105:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Aliwatoa nje watu wake wakiwa na fedha na dhahabu;+Na hakuna yeyote katika makabila yake aliyejikwaa.
37 Aliwatoa nje watu wake wakiwa na fedha na dhahabu;+Na hakuna yeyote katika makabila yake aliyejikwaa.