Kumbukumbu la Torati 9:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “Kumbukeni, msisahau kamwe jinsi mlivyomkasirisha Yehova Mungu wenu nyikani.+ Tangu siku mliyotoka nchini Misri mpaka mlipofika mahali hapa, mmekuwa mkimwasi Yehova.+ Waamuzi 3:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Waisraeli walioa mabinti kutoka mataifa hayo, na kuruhusu mabinti wao waolewe na wana wao, nao wakaanza kuabudu miungu yao.+
7 “Kumbukeni, msisahau kamwe jinsi mlivyomkasirisha Yehova Mungu wenu nyikani.+ Tangu siku mliyotoka nchini Misri mpaka mlipofika mahali hapa, mmekuwa mkimwasi Yehova.+
6 Waisraeli walioa mabinti kutoka mataifa hayo, na kuruhusu mabinti wao waolewe na wana wao, nao wakaanza kuabudu miungu yao.+