Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 17:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Basi watu wakaanza kugombana na Musa+ wakisema: “Tupe maji ya kunywa!” Lakini Musa akawauliza: “Kwa nini mnagombana nami? Kwa nini mnaendelea kumjaribu Yehova?”+

  • Hesabu 11:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kisha umati wa watu waliochangamana nao*+ ukaanza kutamani chakula kwa pupa,+ basi Waisraeli wakaanza kulia tena na kusema: “Ni nani atakayetupatia nyama tule?+

  • Hesabu 16:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kisha Kora+ mwana wa Ishari,+ mwana wa Kohathi,+ mwana wa Lawi,+ akaungana na Dathani na Abiramu wana wa Eliabu,+ na Oni mwana wa Pelethi, wazao wa Rubeni.+ 2 Nao, pamoja na wanaume 250 Waisraeli, wakuu wa kusanyiko, wanaume maarufu waliowekwa rasmi wakaanza kumpinga Musa.

  • Hesabu 25:2, 3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Wanawake hao waliwaalika kwenye dhabihu za miungu yao,+ nao watu wakaanza kula na kuinamia miungu yao.+ 3 Kwa hiyo Waisraeli wakashiriki katika kumwabudu* Baali wa Peori,+ na hasira ya Yehova ikawaka dhidi yao.

  • Kumbukumbu la Torati 31:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Kwa maana mimi mwenyewe najua vizuri uasi wenu+ na ukaidi wenu.*+ Ikiwa mmekuwa mkimwasi sana Yehova ningali hai pamoja nanyi, basi mtamwasi kadiri gani nikifa?

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki