Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 8:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Daudi akaendelea kutawala Israeli yote,+ naye aliwatawala watu wake wote+ kwa haki na uadilifu.+

  • 1 Wafalme 3:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Basi Sulemani akasema: “Umemtendea mtumishi wako Daudi baba yangu kwa upendo mwingi mshikamanifu alipokuwa akitembea mbele zako kwa uaminifu na kwa uadilifu na kwa unyoofu wa moyo. Umeendelea kumtendea kwa upendo huo mwingi mshikamanifu mpaka leo hii kwa kumpa mwana aketi kwenye kiti chake cha ufalme.+

  • 1 Wafalme 9:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Nawe, ikiwa utatembea mbele zangu kama Daudi baba yako alivyotembea,+ kwa utimilifu wa moyo+ na kwa unyoofu,+ kwa kutenda mambo yote niliyokuamuru,+ nawe ukitii masharti yangu na sheria* zangu,+

  • 1 Wafalme 15:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kwa maana Daudi alitenda yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova, naye hakugeuka na kuacha jambo lolote ambalo Yeye alikuwa amemwamuru sikuzote za maisha yake, isipokuwa kuhusiana na kisa cha Uria, Mhiti.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki