Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 1:16, 17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Wakati huo niliwaagiza hivi waamuzi wenu: ‘Mnaposikiliza kesi kati ya ndugu zenu, mnapaswa kuhukumu kwa uadilifu+ kati ya mtu na ndugu yake au mkaaji mgeni.+ 17 Hampaswi kuhukumu kwa upendeleo.+ Mnapaswa kumsikiliza mdogo kama mnavyomsikiliza mkubwa.+ Msiogopeshwe na wanadamu,+ kwa sababu hukumu ni ya Mungu;+ na ikiwa kesi ni ngumu sana kwenu, ileteni kwangu, nami nitaisikiliza.’+

  • 2 Mambo ya Nyakati 19:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Basi hofu ya Yehova na iwe juu yenu.+ Iweni waangalifu kuhusu mambo mnayotenda, kwa maana Yehova Mungu wetu hana ukosefu wa haki,+ hana ubaguzi,+ wala hapokei rushwa.”+

  • Methali 18:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Si vema kumpendelea mwovu+

      Wala kumnyima haki mtu mwadilifu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki