Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mhubiri 2:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kwa maana hakuna atakayekumbukwa daima, iwe ni mwenye hekima au mpumbavu.+ Siku zijazo, kila mtu atasahauliwa. Na mwenye hekima atakufa jinsi gani? Pamoja na mpumbavu.+

  • Mhubiri 8:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Nami nikaona waovu wakizikwa, wale waliokuwa wakiingia na kutoka mahali patakatifu, lakini walisahauliwa upesi katika jiji ambalo walitenda hivyo.+ Hili pia ni ubatili.

  • Mhubiri 9:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kwa maana walio hai wanajua* kwamba watakufa,+ lakini waliokufa hawajui jambo lolote kamwe,+ wala hawana thawabu* tena, kwa sababu kumbukumbu lote kuwahusu limesahauliwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki